Ili kupunguza vifo vya mtoto mchanga wataalamu wanashauri kwamba mtoto mchanga unatakiwa kumlaza kimgongo mgongo kwa kipindi cha mwaka wake wa kwanza kwa sababu kipindi ambacho anaweza kupatwa na maafa kipindi ambacho... Read more »

Hivi umeshawahi kuwa ndani unafanya mambo yako gafla ukasikia PUU! hata kabla sekunde haijaisha unasikia mtoto anatoa kilio cha HATARI sanaa?? Yaani hapo nahisi utakua ushajua nini kimetokea Kama mtoto wako... Read more »

Upungufu wa maji mwilini kwa watoto wachanga unaweza kutokea wakati wowote.Upungufu wa maji unaweza kusababishwa na mambo mbalimbali kama vile; joto kali , mtoto kutonyonyeshwa baada ya muda mrefu saa 2-4, matatizo ya kiafya pia huchangia mtoto kupoteza maji mwilini... Read more »

Vifo vya gafla kwa watoto wachanga imekuwa ni ngumu kwa wazazi kujua nini ni chanzo chake.Kwenye jamii zetu za kiafrika watu wengi huusisha vifo vya watoto na mambo ya ushirikina pale mtoto anapofariki bila kuumwa... Read more »

Homa ya manjano ni ugonjwa unawashika watoto wachanga baada ya masaa machache kuzaliwa .Manjano kawaida huonyesha rangi ya manjano kwenye macho ,paji la uso,nyayo za miguu,kifuani na tumboni ,ukimkagua mtoto vizuri haswa kwenye... Read more »

Kuna madaktari wengi wa watoto Tanzania. Inapotokea mtoto kaumwa kila mzazi anategemea mwanae apate daktari anaetibu vizuri !Nilijaribu kufanya utafiti mdogo kwa wamama wengi zaidi ya elf kumi kupitia mtandaoni (facebook,instagram na... Read more »

Mtoto anapopewa dawa ni muhimu kujua inaanza kutumika kwa kuanzia umri gani ? Kawasabu kuna baadhi ya dawa haziruhusiwi watoto kutumia .Dawa za kifua hairuhusiwi kwa watoto walio chini ya miaka 2.... Read more »

Watoto wachanga wanaonyonya maziwa ya mama wengi hawapati tatizo la gesi kwa wingi kama watoto wanaokunywa maziwa ya kopo (baby formula) ,sababu mtoto anaponyoya kwa chupa anaingiza hewa tumboni kwa wingi na... Read more »

Maziwa ya kopo (baby formula) ni maziwa ya ngo’mbe wana ya process na kuweka kwenye mfumo wa powder,na kuongezea virutubisho vingine.Maziwa ya kopo yana utofauti sana na maziwa ya mama sababu maziwa... Read more »

Mama mjamzito anatakiwa kuandaa bag lake atakalo kwenda nalo hospital kujifungulia pale muda unapokaribia wiki ya 36-40 .Unatakiwa kufanya maandalizi mapema sababu unaweza patwa na uchungu kabla ya siku za makadirio.Unatakiwa uplan... Read more »